“Nilikuwa
napanda basi juzi kwa safari ya kuja Tanga, mguu ukaanza kuuma. Maumivu
yakazidi nikiwa kwenye basi. Tulipofika nikamuambia dokta. Ameanza kuhangaika
nao tangu hapo, lakini wapi, hali bado tete,”alisema Ngassa jana usiku.
“Nimejaribu
kuweka barafu kupoza maumivu, lakini hali bado si nzuri na sijui tatizo ni
nini,”amesema Ngassa