Wednesday 16 September 2015

Diamond Azidi Kukata Watu Kidomo.... Ashinda tuzo mbili za African NAFCA



Diamond Platnumz anaendelea kufanya vizuri kimataifa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo mbili za African NAFCA.

Muimbaji huyo ameshinda vipengele vya msanii wa mwaka anayependwa pamoja wimbo wa mwaka unaopendwa ‘Nana’ aliomshirikisha Flavour.

Kupitia Instagram, Diamond ameandika:

I would love to say thank you to everybody who Voted for me on @africannafca Awards…am so grateful, i wouldn’t have Made it without you…hare are our Trophies….i will always make sure i work hard to make My Africa Proud..also wanna Thank @africannafca for keep Supporting African talents….please, don’t forget to Vote for me on @MtvEma awards.