Tuesday 19 May 2015

LINAH APATA APATA KAMPUNI MPYA YA KUSIMAMIA KAZI ZAKE ZA MUZIKI


Baada ya Nahreel, Ben Pol kuingia mkataba na Pana Musiq wa usimamizi wa kazi zao, Leo msanii aliyekuwa chini ya No Fake Zone ‘Linah Sanga’ ameingia mkataba na Pana Musiq.

leo Lina ametufahamisha kupitia kurasa yake ya instagram kuwa ametia wino na kampuni hio itakayokuwa ikisimamia kazi zake.