Tuesday 19 May 2015

SAUTI: HANSCANA - MVUA ZALIZOROTESHA SOKO LA VIDEO BONGO.

Hivi karibuni jiji la Dar es salaam na mikoa mbalimbali ya Tanzania ilikumba na mvua kubwa zilizosababisha uharibifu mkubwa wa miundo mbinu na hata makazi ya watu.

Mvua hizo pia zilipelekea kuzorota kwa soko la Utengenezaji wa Video, Director Hanscana athibitisha kuwa mvua zilimfanya afanye video hata kwa laki moja (100,000 TSH/=) kwa kuwa hali ilikuwa ngumu…  msikilize mwenyewe akifunguka kupitia #Trending Africa ya Times FM………..