Monday 11 May 2015

DR.MENGI ATEMA CHECHE KUHUSU CYBER CRIME BILL

Taarifa kuwa Rais Kikwete ameshasaini Sheria ya Makosa ya Mtandao ili ianze kutumika yazidi kuibua mjadala , Dr. Mengi asisitiza wadau hawakupewa fursa kushiriki kuandaa sheria hii ..Je Una Kubaliana na DR Mengi?