Monday 11 May 2015

AMBER ROSE AAMPA MAKAVU KANYE WEST


Haijafahamika kama alikuwa ametumia kilevi fulani kupita kiasi au ndio Amber Rose ameamua kumchana Kanye West kama alivyofanya Kanye mapema mwaka huu kwa kusema “Alibidi aoge zaidi ya mara 30 ili kuwa na Kim Kardashian baada ya kuwa na Amber” .

Amber Rose amedondosha bumo kuhusu muziki wa Kanye West kwenye show ya Super Club mjini LA kwa kusema mbele za watu kuwa Kanye West anaandikiwa muziki na Trvi$ Scott.


Amber alisema “Stop playing n—-s I used to f–k. Stop. Stop. But wait, why don’t we play…hold off…why don’t we play the n—a that writes the songs for the other n–a, Travis Scott. Let’s go!