
Tunafuatilia
kwa karibu taarifa ya ajali mbaya sana ambayo imetokea eneo la
Changalawe, Mafinga, mkoani Iringa basi la Majinja toka likitokea Mbeya
kwenda Dar es salaam limeangukiwa na kontena na taarifa zisizo rasmi
zinasema abiria wengi wamepoteza maisha yao.
.jpg)
SAMAHANI KWA PICHA