Saturday 9 May 2015

VIDEO DIAMOND PLATINUMS AVYOMUITA ZARI KWENYE STAGE AKATOA MACHOZI


Usiku wa May 1 2015 ndio ilifanyika Zari All White Party Dar es salaam Tanzania, Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakawa wahusika wakuu na hii ndio ilikua mara ya kwanza Zari anasimama na kuongea mbele ya umati wa Watanzania, hakuamini kilichotokea mpaka akatoa machozi kama inavyoonekana kwenye hii video hapa chini.